Jarid la Forbes ambalo limekuwa na utamaduni wa kuandika habari zenye utafiti kutokana na uchunguzi wao, leo limetaja list ya wanamichezo wanaoongoza kulipwa pesa nyingi kwa mwaka.
Bondia Floyd Mayweather Jr (Kushoto) na Conor McGregor |
Katika TOP 10 hii hakuna list ya mwanamichezo wa kike aliyefanikiwa kuingia katika TOP 10 ya wanamichezo wanaolipwa pesa nyingi.
0 Comments