Soundcloud

KUTOKA NCHINI SYRIA MAREKANI YASEMA ASSAD ANAJIDANGANYA

Marekani inasema kuwa rais wa syris Bashar Al-Assad anajidanganya ikiwa anaamini kuwa kuna suluhu la kijeshi wa mzozo ulio nchini mwake.
Mapigano nchini SYRIA
Wakati huo huo viongozi wa dunia wanaokutana mjini Munich wameafikia Makubaliano yenye lengo la kumaliza ukatili nchini Syria ndani ya wiki moja.
Raisi Assad wa Syria
Lakini makundi ya waasi yanasema kuwa hayataweka silaha chini hadi Urusi iache kuwashambulia na kuhakikishiwa kuwa Asasad ataondolewa madalakani.

CHANZO:BBCSWAHILI.COM

Post a Comment

0 Comments