Soundcloud

Ni vota Kesho katika uwanja wa Pincipality

AJ mwenye umri wa miaka 28 ataingia uwanja wa Principality uliyopo Cardiff huku akiwa na rekodi ya kutopoteza pambano hata moja kati ya 20 yote aliyocheza na kumkabili mpanzani wake Parker ambaye na haja poteza hata moja kati ya 24 aliyopigana.
Wawili hao wataingia uwanjani hapo kesho siku ya Jumamosi ya tarehe 31 ya mwezi Machi kila mmoja kutaka kutengeneza historia yake.

Post a Comment

0 Comments